Saturday 15 November 2014

VICTORIA BECKHAM!

VUNJA MBAVU NA KATUNI

MAVAZI YA LEO!


SERIKALI YA TANZANIA NA MAREKANI ZATILIANA SAINI MKATABA YA KUANDAA MIRADI YA SEKTA YA NISHATI

images


Na Beatrice Lyimo- Maelezo-DSM.
Serikali ya Marekani na Tanzania zimetiliana saini kwa ajili ya kuandaa miradi katika sekta ya nishati itakayofadhiliwa katika awamu ya pili ya Mkataba wa Millennium Challenge Corporation (MCC).

SERIKALI, UN, VYOMBO VYA HABARI KUTOA ELIMU DHIDI YA EBOLA

001
Mkurugenzi Msaidizi Kitengo cha Elimu ya Afya kwa Umma kutoka Wizara ya Afya na Ustawi ya Jamii, Said Makora (kulia), akielezea jinsi Wizara hiyo inavyopambana kutoa elimu ya ugonjwa wa Ebola kwa wananchi wakati wa kongamano lililoandaliwa na UNESCO, WHO, UNICEF, Wizara ya Afya na Ustawi ya Jamii, uliofanyika katika ukumbi wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania (OUT), Novemba 11,2014 jijini Dar es Salaam mkutano huo uliowakutanisha wamiliki wa Redio za kijamii kuwaelimsha Radio za Kijamii za Mikoani ni namna gani wanavyoweza kushirikiana na Wizara ya Afya na Ustawi ya jamii ili kutoa taarifa sahihi kwa wananchi kuhusu ugonjwa wa Ebola, Ebola ni nini namna ya kujinga na dalili zake.(kushoto), Kushoto ni Mwenyekiti wa COMNETA ambaye pia ni Mkurugenzi wa Redio FADECO, Sekiku Joseph.(PICHA NA PHILEMON SOLOMON).

WATOTO WADOGO WAAMBUKIZWA UKIMWI BAADA YA KUBAKWA NA BABA WA KAMBO


Watoto wadogo wamekuwa katika hatari ambapo mara nyingi tumesikia taarifa za watoto kufanyiwa vitendo mbalimbali vya kikatili na watu wazima.

KUELEKEA UCHAGUZI 2015 SIKILIZA HOTUBA YA MWALIMU NYERERE 1995!

BURUDIKA NA MAJUTO!




PATA IDEA YA FURNITURE ZA CHUMBA CHA KULALA!







MUSEVENI URGES AFRICAN COUNTRIES TO PROMOTE TOURIST ATTRACTIONS.

Minister for Natural Resources and Tourism
Hon. Lazaro Nyalandu (left) discussing a point with Permanent
Representative of the African Union Mission to the USA, Ambassador
Amina Salum Ali during the ongoing 39th World Congress of Africa Travel Association
(ATA) in Kampala, Uganda.

MITINDO YA VITENGE NA VIATU!




KWA MAELEZO ZAIDI AU KUJIPATIA JUICE(BIDHAA) YAKO WASILIANA NASI KUPITIA NAMBA 0783 149 561


Je unafahamu maradhi mengi husababishwa na utumbo wako kuwa mchafu?
Je unafahamu kuwa unavyopeleka gari lako service na mwili wako unahitaji?
Umewahi kufikiria njia za kusafisha utumbo wako?

TATIZO LA UGUMBA KWA WANAWAKE!

Ugumba ni hali ya mwanamke kushindwa kushika ujauzito. Linaweza kuwa tatizo pia kwa mwanaume lakini katika makala hii tutaona nini kinasababisha tatizo hili kwa upande wa wanawake.
NINI HUSABABISHA UGUMBA KWA WANAWAKE?
Mayai kutokomaa ipasavyo:

CHEKA NA KANSIIME!

ONA UNYAMA HUU! MTOTO ALIYEPOTEA AKUTWA AKUTWA AMEUA KINYAMA ZANZIBAR

TUNAOMBA RADHI KWA PICHA HIZI!

   


siku ya tukio watoto walikuwa wakicheza nje ya nyumba yao kama wiki moja iliyo pita ndipo kuna baba mmoja akapita akamwambia mtoto mmojaq wa kiume amuonyeshe duka lilipo maeneo hayo yule mtoto wa kiume alikataa ndipo alipo mwambia mtoto wa kike aitwae Nuru nipeleke dukani. yule mtoto akatangulia mbele yule babu akiwa nyuma.

HAPO NAPO! HAKUNA KAMA MWANAMKE!

BONDIA CHEKA AONA NGUMI HAZILIPI ARUDI KUOKOTA CHUPA

Nyumbani kwa bondia Francis ‘SMG’ Cheka hakuishi pilika ambazo zinatokana na kazi ya chupa za plastiki anayofanya bingwa huyo wa zamani wa dunia wa WBF.

MISUKO YA NYWELE KWA WATOTO!





MLO WANGU WA LEO! NAJITAHIDI KUACHANA NA WALI UGALI TAMBI VIAZI VYAKULA VYA WANGA KWA UJUMLA


Mwanzoni nilipoanza kula vyakula vya hivi yaani ni mtihani mkubwa, ni kwanza hushibi, unaona kama hujala kitu kabisa! lakini nimejikaza sasa hivi nimeshazowea, Vyakula vya wanga ni vizuri lakini kiafya hawatushauri ,isipokuwa unaruhusiwa kula vyakula visivyokobloewa,kama tambi basi kula zile brown na si nyeupe, wali brown, ugali ukiweza kula sembe au dona, sasa jamani si bora niache kabisa!kwa kweli ni SHEEDAH!

Ladies in red!

BRILLIANT RED DRESSES   ALWAYS TRENDY

LHRC: HAKI ZA AJIRA HAZITEKELEZWI KIVITENDO

IMEELEZWA kwamba baadhi ya makapuni na mashirika mbalimbali bado haki za ajira hazitekelezwi kivitendo na hivyo kusababisha wafanyakazi kufanya kazi katika mazingira magumu.

MISS TANZANIA 2013 AAHIDI MAKUBWA MASHINDANO YA UREMBO YA DUNIA

BOKO HARAM WAUDHIBITI MJI WA CHIBOK

Wapiganaji wa kundi la Boko Haram.
Ripoti kutoka kaskazini mashariki mwa Nigeria zinasema kuwa wanamgambo wa Boko Haram wameudhibiti mji wa Chibok , mji ambapo waliwateka nyara zaidi ya wasichana 200 mwezi Aprili.

YALIYOMO MAGAZETINI LEO JUMAMOSI 15 NOVEMBA 2014

.

NABII ALIYEJITABIRIA KIFO AFARIKI DUNIA

Dar es Salaam. Mwanzilishi wa Kanisa la The Pool of Siloam, Nabii Eliya Adam amefariki dunia juzi mchana, muda mfupi baada ya kuwaeleza wasaidizi wake kuwa siku hiyo ndiyo ilikuwa ya mwisho kwake kuishi duniani.

Friday 14 November 2014

MBILIA BELL!

MUHIMBILI YASITISHA GHARAMA MPYA


SERIKALI imesitisha ongezeko la tozo zilizoanza kutumika hivi karibuni katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH), ambayo ndiyo yenye vifaa tiba na madaktari wenye uwezo mkubwa kuliko hospitali yoyote nchini.

MAREKANI YAIPATIA TANZANIA BILIONI 16.6



SERIKALI ya Marekani kupitia Shirika la Changamoto za Milenia (MCC), imetoa Sh bilioni 16.6 kwa Tanzania, zitakazotumika kujenga miundombinu ya umeme.

RUSHA ROHO ZILIANZA HUKU!

KWELI KUPENDEZA RAHA!



MAPISHI YA LEO!

MITINDO YA VITENGE KWA WOTE, NA HANDBAGS ZA KITENGE!




JENGO LA MACHINGA COMPLEX LAUNGUA..


Habari  kutoka jijini Dar es salaam zinasema kuwa jengo la wafanyabiashara ndogo ndogo (Machinga Complex) lililopo jijini humo linawaka moto muda huu.

Tunaarifiwa kuwa juhudi za kuuzima zinaendelea.

Tutawaletea taarifa zaidi..

chanzo-Radione stereo

MCHUNGAJI AFARIKI AKIJARIBU KUTEMBEA JUU YA MAJI KAMA YESU!

Mchungaji kutoka Nigeria, Frank Kabele akizama alipojaribu kutembea juu ya maji kama Yesu.

Coctail dresses!

26 Wonderful Evening Gowns For Pretty Women

MICHEZO: AZAM FC YAMFUATA NIYONZIMA

Haruna Niyonzima.

TIMELESS CLASSIC"

NDEGE YA KIJESHI YAANGUKA NIGERIA

Ndege ya kijeshi yaanguka nchini Nigeria.Ndege hiyo ni ya pili kuanguka.
Helikopta ya kijeshi ya Nigeria imeanguka katika eneo la kaskazini mashariki mwa nchi hiyo , ikiwa ni helikopta ya pili kupata ajali kwa muda wa chini ya wiki mbili .

WATOTO WAONGEA LUGHA ISIYOFAHAMIKA BAADA YA KUFUNGIWA NDANI KWA MIAKA SABA

Watoto wamekaa na mamayao wakila chakula.nchini Uganda watoto watatu waliofungiwa na baba yao kwa miaka saba wameanza kuzungumza lugha isiofahamika.
Watoto watatu kutoka kijiji cha Barca katika kaunti ndogo ya Aber Wilayani Oyam nchini Uganda wameanza kuzungumza lugha tofauti isiojulikana baada ya kufungiwa katika nyumba kwa miaka saba.

ULAJI USIOZINGATIA LISHE BORA ONGEZEKO LA KISUKARI



ULAJI usiozingatia lishe bora na unene uliopitiliza kutokana na kutofanya mazoezi, kumeelezwa kuwa chanzo cha ongezeko kubwa la ugonjwa wa kisukari hapa nchini.
Hayo yalibainishwa jijini Dar es Salaam jana na Mwenyekiti wa taasisi inayoshughulikia masuala ya kisukari, Prof. Andrew Swai.

WALE WA MAUA MAMBO NI KAMA HIVI!



WAVUVI HARAMU WALIPULIWA NA BARUTI TANGA

Wavuvi haramu walipukiwa na baruti Tanga
WAKAZI wawili wa Kata ya Tangasisi tarafa ya Pongwe wilayani Tanga wamejeruhiwa viungo mbalimbali vya mwili kwa kulipukiwa na baruti wakati wakivua kwa kutumia zana za uvuvi haramu kwenye kisiwa cha Karange.

BODI YA FILAMU TANZANIA YAZITAKA KAMPUNI ZA FILAMU KUZINGATIA SHERIA NA KANUNI ZA FILAMU.

1
Katibu Bodi ya Filamu Tanzania, Bi. Joyce Fissoo akiongea na wahusijka wa Kampuni ya Kajala Entertainment wakati alipofanya nao mkutano leo ofisini kwake jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kuwapa Sheria na Kanuni zilizokiukwa katika filamu ya Mbwa Mwitu.

KURASA ZA MWANZO ZA MAGAZETI YA LEO IJUMAA 22 VOVEMBA 2014

.

Thursday 13 November 2014

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL, AKABIDHI TUNZO KWA WASANII BORA

HAYA KWA WALE WA SWEDEN MPOGOO? OMMY DIMPOZ NDANI YA STOCKHOLM FIKA UPATE KITU ROHO INAPENDA!

MASHAUZI AKIJISHAUA!

VAZI LA LEO!

Skirt

MWANAMKE MBARONI KWA KUFADHILI KUNDI LA ISIS.

Amal alimuo9mba rafiki yake kumpelekea mumewe anayepigana nchini Syria pauni 15,800
Mwanamke mmoja nchini Uingereza aliyeshitakiwa kwa kumfadhili mumewe aliyejiunga na vita nchini Syria, amefungwa jela kwa zaidi ya miaka miwili.

UGANDA YAZINDUA GARI LISILOTUMIA PETROLI

Uganda imezindua gari maalum la kipekee katika kanda ya Afrika mashariki maarufu kama hybrid electric car.

NJIA KUMI ZINAZOSAIDIA KUPUNGUZA UNENE

Ni makala muhimu sana. Wastani wa maisha ya Mtanzania ( na Waafrika wengi) hata wale waliosoma au wanaojiweza kiuchumi ni miaka 40-50. Kati ya sababu kuu zinazopunguza uhai wetu ni afya, unene na kutojua kujiangalia vyema afya zetu.

RIHANNA NA VAZI LA KITENGE NDANI YA WHITE HOUSE!

KWELI KUPENDEZA RAHA!



WAHITIMU KIDATO CHA SITA MWAKA 2014 NA KIDATO CHA NNE MWAKA 2013 WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA JESHI LA POLISI BAADA YA USAILI KUKAMILIKA

Maelekezo Muhimu.
  1. Wahitimu wa kidato cha sita mwaka 2014, kidato cha nne mwaka 2013 na JKT Mafinga, Mlale, Ruvu, Mgambo, Bulombola, Kanembwa, Itende, Nachingwea, Mbweni, Maramba, Chita, Makutupola, Mtabila, Msange, Mgulani, Oljoro, Rwankoma na Kimbiji wamechaguliwa kujiunga na mafunzo ya awali ya Jeshi la Polisi.

ONA UNYAMA HUU! MUME AMKATA MKEWE SEHEMU ZA SIRI ILI AKAUZE KWA MGANGA WA KIENYEJI .

Unyama wa kutisha kisa utajiri! Mwanamke mwenye umri wa miaka 60 (pichani jina linahifadhiwa), anadai kukatwa sehemu zake za siri (nyeti) na mumewe aliyemtaja kwa jina moja la Mashaka ili akauze Sh. milioni tano za Kitanzania akauze kwa mganga wa kienyeji ili apate mtaji.
Mwanamke mwenye umri wa miaka 60 aliyekatwa sehemu zake za siri (nyeti) na mumewe anayefahamika kwa jina moja la Mashaka.
Kwa mujibu wa mashuhuda wa tukio hilo baya, mama huyo amelazwa katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Tabora, Kitete ambapo anadaiwa kukutwa na kisanga hicho hivi karibuni.

ZOULOU DANCE!

PANYA ROAD WAFUNGA MITAA MINNE DAR

Kamanda wa Polisi kanda maalumu ya Dar es salaam,Suleman Kova.PICHA|MAKTABA

SIASA ZIWEKWE KANDO MGOGORO WA KITETO

Wakati mgogoro kati ya wafugaji na wakulima wilayani Kiteto, mkoani Manyara ukipamba moto kwa kuongezeka kwa matukio ya mauaji ya kutisha na uharibifu wa mali, Serikali imekuwa ikichukua hatua kwa mwendo wa taratibu, huku wanasiasa wakitumia fursa hiyo kujinufaisha kwa kuutumia mgogoro huo kufikia malengo ya kisiasa.

LIVING ROOM! PATA IDEA HUMU!




MFANYABIASHARA NA MUIMBAJI TOKA UGANDA ZARI HASSAN KUTOA NYIMBO YAKE MPYA ALIYOMSHIRIKISHA DIAMOND

diamond na zari
Mfanyabiashara na mwimbaji mrembo wa Uganda, Zari the Boss Lady na Diamond Platnumz waliingia kwenye headlines weekend iliyopita baada ya picha zao wakiwa kwenye faragha kama wapenzi kuzua maswali mengi kwenye mitandao ya kijamii.
Hata Hivyo Zari hakuchukua muda mrefu na kuamua kutumia Instagram kufumbua fumbo hilo kwa kuweka wazi kuwa ameshirikiana na Diamond katika wimbo wake mpya.
Zari ameuambia mtandao wa Big Eye wa Uganda kuwa picha zilizosambaa ni sehemu ya video shoot ya wimbo aliofanya na hit maker wa Number 1.
 

ADVERTISE WITH US

AFRICAN FASHION

PLACE YOUR ADS HERE!