Saturday, 11 January 2014

ARIEL SHARON AFARIKI

Waziri Mkuu wa zamani wa Israel, Ariel Sharon enzi za uhai wake.

PICHA ZA WATUHUMIWA WALIOKAMATWA WAKISAFIRISHA SILAHA ZA KIVITA KATAVI

WEEKEND NJEMA WADAU WA SOPHIEMBEYU BLOG....NAWAPENDAAA MINGIIII.!!

MITINDO YA VITENGE!

Afromania Revival by Nkwo « Great for everyday street wear..... Love it

African Dress With Hoodie

HAKUNA KAMA MWANAMKE!

VAZI LA LEO!

RWANDA YAKANUSHA UVUMI KUHUSU KIFO CHA KAGAME




Ikulu ya Rais wa Rwanda imekanusha uvumi ambao umekuwa unazidi kuenea kuhusu kifo cha Rais Paul Kagame, ambao umepelekea raia wa mji wa Goma kuandamana mabarabarani wakisheherekea kwa furaha taarifa hio. 

KUJICHUKULIA SHERIA MIKONONI NI HAKI?....... HAWA NDIO MAJAMBAZI WATATU WALIOUAWA NA KUCHOMWA HUKO MOROGORO....

TUNAOMBA RADHI KWA PICHA HIZI!....

VUNJA MIFUPA ANGALI MENO BADO IPO!!


BAADA YA BASI KUGONGA NA KUUA WATATU, WANANCHI WALITEKETEZA BASI KWA MOTO

ASKARI POLISI NA ASKARI MAGEREZA WAFIKISHWA MAHAKAMANI KWA UJAMBAZI WA KUTUMIA SILAHA MBEYA.


Ulinzi ukiimarishwa Baada ya watuhumiwa wa ujambazi kufikishwa mahakamani

WATOTO WAWILI WAFARIKI KWA KULIPUKIWA NA KITU KINACHOSADIKIWA KUWA NI BOMU JIJINI DAR...

Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Temeke, Kamishina Msaidizi wa Polisi (ACP), Engelbert Kiondo.
Watoto wawili wakiume wamekufa na mmoja kunusurika baada ya kulipukiwa na kitu kinachosadikiwa kuwa ni bomu eneo la Jeshi la Wananchi nchini (JWTZ) huko Kimbiji, Kigamboni. 

RAIS KIKWETE AWAANDALIA MABALOZI SHEREHE YA KUUKARIBISHA MWAKA IKULU LEO

PICHA KWA HISANI YA ISA MICHUZI..
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akihutubia Mabalozi na wawakilishi wa taasisi za kimataifa wakati wa Sherehe ya Kuukaribisha Mwaka Mpya (Sherry Party) aliyowaandalia Ikulu jijini Dar es salaam leo January 10, 2014.


MAGAZETI YA LEO JUMAMOSI 11 JANUARY 2014

.

Friday, 10 January 2014

HAYA NI MADHARA YANAYOWEZA KULETWA NA HENNA AMBAYO SI YA MMEA...

Blisters: The FDA is warning people of the risks, such as severe blisters, pictured, ahead of Spring Break
f you're thinking of getting a fake tattoo over Spring Break, you might want to think again.
According to the US Food and Drug Administration, while temporary body art may involve less commitment than permanent ink, it's certainly not harmless and could result in a trip to the emergency room.
MedWatch, the FDA's safety and health complaints hotline, has had scores of consumers report bad side effects to the fleeting markings, including redness, blisters, raised red weeping lesions, loss of pigmentation and even permanent scarring.

SABABU YA KIFO CHA MPENDWA WETU ZAINAB BUZOHERA

 
Zainab Buzohera enzi ya uhai wake

Siku ya Ijumaa Jan 3, 2014 baada ya kuanza kujisikia vibaya Marehemu Zainab alikwenda Hospitali ya Doctor's Community iliyopo Lanham, Maryland ambayo ni kama maili 7 kutokea nyumba kwake kwenye mji wa Bladensburg, Maryland.aliokuwa akiishi enzi ya uhai wake. Siku hiyo usiku wa saa 5 usiku marehemu alifika hospitali kitengo cha Emergency baada ya kuanza kujisikia kushindwa kupumua na baada ya kuchekiwa na madaktari walimkuta na tatizo la homa ya mapafu (Pneumonia stage 3).

Baada ya madaktari kugundua tatizo la Zainab ni kubwa, Siku ya Jumamosi Jan 4, 2014 Mpendwa wetu alipatiwa kitanda kwenye wodi ya wagonjwa mahututi (ICU) huku akiwekewa mashine ya Oxygen ili kumsaidia kupumua. Mpendwa wetu alishawahi kulazwa hospitali siku za nyuma lakini kinachowashangaza wengi hasa marafiki zake wa karibu ni jinsi alivyowapigia simu karibu kila mmoja na kuwaeleza kulazwa kwake siku hiyo jambo lililotafsiliwa na wengi wakiwemo marafiki zake kwamba alishajua mauti itamkuta na kuwapigia simu huko ilikuwa anawaaga.

HABARI ZA UMBEYA/. WAKATI WEMA AKITUMA VIDEO YA DIAMOND AKIWA KITANDANI, PENNY NAE ANENA "HAITATOKEA KAMWE NIKAMDHARAU DIAMOND


MKAPA AIPONDA MISAADA KUTOKA NJE, ASEMA YADHOOFISHA UCHUMI AFRIKA

  Click image for larger version. 

Name: mkapa.jpg 
Views: 0 
Size: 19.7 KB 
ID: 131319

Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Benjamin William Mkapa amesema misaada inayotolewa na nchi za Magharibi kwa nchi za Afrika haina masilahi na ina lengo la kudhoofisha ukuaji wa uchumi wa nchi za Afrika .

BABA NA MWANA JAY-Z NA MWANAE BLUE IVY..

IJUMAA NJEMA WADAU WA SOPHIEMBEYU BLOG....

AMUUA BABA YAKE KUMUOKOA SHANGAZI YAKE ALIYEKUWA ANABAKWA- NACHINGWEA

Mkazi wa mmoja wa kijiji cha Nang’ondo, Wilaya ya Nachingwea, mkoani Lindi anashikiliwa na jeshi la polisi baada ya kumuua baba yake mzazi katika harakati ya kumwokoa shangazi yake aliye alikuwa anabakwa.

VUNJA MBAVU!





BASI LA MTEI LILIVYOCHOMEA MOTO SINGIDA

MITINDO YA VITENGE!

Love the print
Ituen Basi

YAYA TOURE KUTWAA TUZO YA MWANASOKA BORA WA AFRIKA NJE YA AFRIKA

WAZIRI KIGODA : MFUMO MASHINE EFDs NI MBOVU, UNAKANDAMIZA ...

Waziri wa Viwanda na Biashara, Dk Abdallah Kigoda.
Serikali imekiri mfumo wa ulipaji kodi na ule wa utumiaji wa mashine za kutolea risiti(EFDs) kuwa ni mbovu na hivyo unahitaji kufanyiwa kazi.

IGP ATANGAZA MABADILIKO MAKUBWA JESHI LA POLISI.

 Mkuu Mpya wa Jeshi la Polisi, Inspekta Jenerali, Ernest Mangu ameanza kazi kwa kutangaza mabadiliko ya mfumo wa jeshi hilo huku akiunda vitengo vipya kwa lengo kuongeza ufanisi katika kukabiliana na uhalifu.

MSIKIE JOKATE AKIONGELEA MUZIKI NA FILAMU.......

MAGAZETI YA LEO IJUMAA 10 JANUARY 2014

.

Thursday, 9 January 2014

HAPO NAPO SASA!


MADAWA YA KULEVYA YAINGIZWA SUPERMARKET KATIKA MAKASHA YA NDIZI

Polisi akiwa analinda makasha yenye dawa za kulevya yaliyoingizwa
 nchini Ujerumani kutoka Columbia kwa kuwekwa ndani ya ndizi
Polisi akifungua moja ya nizi ambazo ndani yake kuliwekwa dawa za kulevya

WATU WAWILI WAFARIKI DUNIA KWA KUPIGWA NA KUCHOMWA MOTO BAADA YA KUTUHUMIWA KUIBA BODABODA , KATIKA MLIMA NYOKA


 Miili ya Marehemu ikiwa imetelekezwa katika mlima nyoka

Wizara ya maliasili na utalii imewasimamisha kazi watumishi wake 22 wa idara ya wanyama pori


Wizara ya maliasili na utalii imewasimamisha kazi watumishi wake ishirini na mbili wa idara ya wanyama pori wanaotuhumiwa kushiriki katika vitendo vya ujangili dhidi ya wanyama pori, hujuma, pamoja na vitendo vya rushwa na hatua za kisheria zinaendelea kuchukuliwa dhidi yao.

WAFANYABIASHARA WA DAR WAGOMEA MASHINE ZA KODI ZA TRA, WAFUNGA MADUKA LEO

Magonjwa ya mlipuko yanukia jijini Dar

IMG-20140107-WA0007
Pichani ni magari ya kuzolea taka ngumu ya kampuni mbalimbali yakiwa kwenye foleni ya kuingia Dampo la Pugu Kinyamwezi ambalo miundo mbinu yake ni mibovu na kupelekea zoezi hilo kuchukua zaidi ya siku 4 mpaka kufanikisha kufikia eneo maalum la kumwagia taka ngumu.
.Ni kutokana na kukwama kwa magari ya taka kwenye Dampo la Pugu
.Siku ya tatu sasa magari ya taka yamekwama

Serikali ya China imemtoza faini ya zaidi ya dola milioni moja mtengeza filamu mashuhuri nchini humo, Zhang Yimou kwa kwenda kinyume na sera ya mtoto mmoja kwa kila familia nchini humo.



Serikali ya China imemtoza faini ya zaidi ya dola milioni moja mtengeza filamu mashuhuri nchini humo, Zhang Yimou kwa kwenda kinyume na sera ya mtoto mmoja kwa kila familia nchini humo.

MAWAZIRI WAPYA WATANO WATAJWA TANZANIA

 
RAIS Jakaya Kikwete anatarajia kutangaza majina ya mawaziri watano mapema wiki hii,taarifa za ndani kutoka Ikulu ya Rais Kikwete iliyonaswa na Habarimpya.com zinaeleza kwamba, zoezi hilo limepangwa kufanyika mapema wiki hii kabla ya Rais kuanza zoezi la kuteuwa wabuge wa bunge la Katiba.

PICTURE OF THE DAY..KWA RAHA ZAO!!!

SUMAKU MAALUM YANASA WEZI WA NONDO JIJINI

Nondo


SUMAKU maalumu zilizofungwa kwenye lango la kuingia kwenye mradi wa ujenzi wa daraja la Kigamboni, zimesaidia kukamata wezi wa nondo na misumari.
“Wizi upo, lakini tumekabiliana nao, ilibainika kuwapo watu wa nje wanaojichomeka kwenye kazi na kuiba, walikuwa wanajivisha vipande vya nondo maungoni na kujifunga, wengine kutumia nywele ndefu kuficha zaidi ya nusu kilo ya misumari. “Tulifunga sumaku maeneo ya kutokea na kuingia na baadhi walivutwa nayo kutokana na vyuma walivyoficha maungoni na kukamatwa kirahisi sana, sasa wizi umepungua,” amebainisha Meneja Mradi wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Karim Mataka.

HUJAFA HUJAUMBIKA... MIAKA 29 KITANDANI MUHIMBILI NA HANA NDUGU..

ALIPOPANDA basi kutoka Tanga kuelekea Dar es Salaam mwezi fulani mwaka 1984, hakujua kama ilikuwa ni siku yake ya mwisho kuwa mzima, mwenye mwili mkakamavu uliokamilika viungo vyote.
Akiwaacha nyuma mkewe, Veneranda Makamba na watoto wake wawili, Bashangi (aliyekuwa na umri wa miaka 12) na James (10), Francis Benard aliyekuwa na umri wa miaka 46 wakati huo, uzima wake ulikomea maeneo ya Mto Wami, ambako alipata ajali iliyomlaza kitandani akiwa mahututi katika Hospitali ya Taifa Muhimbili kwa miaka sita.

UKURASA WA AKINA BABA!



MITINDO YA NYWELE

Beautiful Short Wavy Brown Full Bang African American Wigs for Women

Wednesday, 8 January 2014

BREAKING NEWS: FIFA YAHAMISHA MUDA WA KOMBE LA DUNIA MWAKA 2022 HUKO QATAR

QATAR
Baada ya utafiti wa muda mrefu na majadiliano yaliyochukua zaidi ya mwaka mmoja shirikisho la soka ulimwenguni limefikia uamuzi wa kutofanyika kwa mashindano ya kombe la dunia kwa mwaka 2022 katika kipindi cha msimu wa kiangazi .
Kwa mujibu wa katibu mkuu wa FIFA Jerome Valcke michezo ya kombe la dunia haiwezi kufanyika kwa msimu huo nchini Qatar kutokana na hali ya hewa kuwa joto kali na hivyo kuhatarisha afya na usalama wa wachezaji.

HABARI ZA KIMATAIFA/ WAUMINI WAUAWA MSIKITINI NCHINI NIGERIA

 Watu waliojihami wameshambulia msikiti katika jimbo la Kano Kaskazini mwa Nigeria na kuwaua waumini watatu huku wakiwajeruhi wengine 12. Polisi wanasema kuwa watu hao waliwafyatulia risasi waumini waliokuwa msikitini katika kijiji anakoishi gavana wa jimbo hilo, Rabiu Musa Kwankwaso.

FAHAMU MADHARA YA KULA SUKARI..

Sukari 
Wengi  wetu tumeshasikia ushauri  wa kula  sukari kidogo, ushauri ambao  ni mzuri  kiafya.

Lakini  licha  ya tahadhari  mbalimbali  zinazo  tolewa  na  wataalamu  wa  afya  kuhusu  madhara  yatokanayo  na  ulaji  mwingi  wa  sukari, bado  idadi  kubwa  ya  watu  hupenda  kutumia  sukari  kwa  wingi  kwa  njia  mbalimbali.

BALOZI WA TANZANIA NCHINI MAREKANI LIBERATA MULAMULA AKUTANA NA VIONGOZI WA NSSF

 Balozi wa Tanzania nchini Marekani, Liberata Mulamula, akizungumza na uongozi wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Dar es Salaam, kuwataka NSSF kufungua Ofisi zitakazotoa huduma za Westadi nchini Marekani ambazo zitawasaidia watanzania waishio nje ya nchi kusafirisha mwili wa marehemu pamoja na kupata huduma ya matibabu kwa ndugu wanne waliopo nchini. Kushoto ni Kaimu Meneja Kiongozi na Huduma kwa Wateja wa NSSF, Theopista Muheta. 

KITU KIPYA TOKA KWA JAGUAR.".KIOO" VIDEO ALIYOSHOOT NA WAFUNGWA GEREZANI NCHINI KENYA...


Kioo ni wimbo ambao unaelezea safari ya maisha yake jinsi ambavyo hujitazama kila wakati kwenye kioo kuona jinsi alivyopiga hatua ndefu.

MUONEKANO MPYA WA WEMA SEPETU... AKIWA NA NDUGU WA DIAMOND WAKIKATIZA MITAA!


Wacha movie iendeleeeeeeeeeeee

PICTURE OF THE DAY ......MAPOZI YA PICHA HAYO! CHEZEYA!...

LULU AMPONGEZA MAMA KANUMBA KWA SIKU YAKE YA KUZALIWA...AANDIKA UJUMBE MURUA!

Mama Kanumba atakuwa ametimiza miaka kadhaa hivi sasa na amepokea zawadi ya keki kutoka kwa muigizaji Elizabeth Michael.

KUFUATIA MWANAMKE KUKAMATWA NA DAWA ZA KULEVYA, DR. MWAKYEMBE ATEMBELEA UWANJA WA NDEGE DAR ES SALAAM


Mhe. Mwakyembe.
KITENGO  Cha Usalama wa Taifa Nchini kinatarajia kuogeza nguvu katika kuimarisha ulinzi katika viwanja vya ndege nchini ili kukabiliana na wimbi kubwa la usafifirishaji wa dawa za kulevya pamoja na madini hapa nchini hususani katika kiwanja cha ndege cha kimataifa  Mwalimu Julius Nyerere (JNA) kilichopo jijini Dar es Salaam.

TANZANIA HAITISHWI MAJIRANI KUJITENGA.....NI KUTOKANA NA HATUA YA RWANDA UGANDA NA KENYA KUTUMIA KITAMBULISHO KAMA PASI ZA KUSAFIRIA


 Bendera ya Rwanda

Ni kutokana na hatua ya Rwanda, Uganda na Kenya kutumia vitambulisho kama pasi za kusafiria

Serikali imesema kuwa hatua iliyoanzishwa na nchi za Rwanda, Kenya na Uganda ambayo imeruhusu raia wake kusafari ndani ya nchi hizo kwa kutumia vitambulisho vya taifa badala ya hati ya kusafiria kuwa siyo tishio.

 

ADVERTISE WITH US

AFRICAN FASHION

PLACE YOUR ADS HERE!