Wizara ya maliasili na utalii imewasimamisha kazi watumishi wake
ishirini na mbili wa idara ya wanyama pori wanaotuhumiwa kushiriki
katika vitendo vya ujangili dhidi ya wanyama pori, hujuma, pamoja na
vitendo vya rushwa na hatua za kisheria zinaendelea kuchukuliwa dhidi
yao.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)













No comments:
Post a Comment