Thursday, 9 January 2014

Wizara ya maliasili na utalii imewasimamisha kazi watumishi wake 22 wa idara ya wanyama pori


Wizara ya maliasili na utalii imewasimamisha kazi watumishi wake ishirini na mbili wa idara ya wanyama pori wanaotuhumiwa kushiriki katika vitendo vya ujangili dhidi ya wanyama pori, hujuma, pamoja na vitendo vya rushwa na hatua za kisheria zinaendelea kuchukuliwa dhidi yao.

No comments:

 

ADVERTISE WITH US

AFRICAN FASHION

PLACE YOUR ADS HERE!