Friday, 10 January 2014

HABARI ZA UMBEYA/. WAKATI WEMA AKITUMA VIDEO YA DIAMOND AKIWA KITANDANI, PENNY NAE ANENA "HAITATOKEA KAMWE NIKAMDHARAU DIAMOND


Leo mwanadada wema sepetu amezidi kuudhihirishia ulimwengu wa fans wake kuwa kijana raisi wa wasafi aka Diamond Platnumz ndio mahabuba wake baada ya kupost video ya mwanamuziki huyo akiwa kitandani kifua wazi kabisaaa huku akiandika “In da middle of his writing session…jus had to distrub him a little”.

CREDIT BONGO MOVIE...
MTANGAZAJI wa Kituo cha Televisheni cha DTV, Peniel Mungilwa ambaye ni zilipendwa
 wa mwanamuziki wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnum’ amesema
 katika maisha yake haitatokea akamdharau kwa kumkashifu hata kama si wake tena.


Akipiga stori na paparazi wetu, mwanadada huyo alisema japo kwa sasa ametofautiana

 na Diamond aliyeweka wazi kwamba yupo na Wema Sepetu hawezi kuwa na chuki

 dhidi yao.
“Naapa kwa Mungu wangu katika maisha yangu haitatokea kamwe nikamdharau
 Diamond, haijalishi yupo na nani kwa sasa, thamani yake kwangu itabaki palepale
 hamuwezi jua namheshimu kiasi gani yule mtu,” alisema Penny.
chanzo:.globalpublishers

No comments:

 

ADVERTISE WITH US

AFRICAN FASHION

PLACE YOUR ADS HERE!