
Zoezi la uandikishaji katika daftri la kudumu la wapiga kura kwa kutumia mfumo wa elektronia BVR wilaya ya Kyerwa mkoani Kagera limeigia dosali baada ya kubainika kundi la wahamiaji haramu kutoka nchi ya Rwanda na Uganda wakijiandikisha kwa madai kuwa wamehamasishwa na wanasiasa kwa lengo la kupata wapiga kura.












































'







