WATANO WAKAMATWA KWA KUKUTWA NA VIUNGO VYA ALBINO-SHINYANGA
Polisi Mkoani Shinyanga imewakamata watu watano waliokuwa wamejificha katika hoteli moja, Wilayani Kahama mkoani humo wakifanya biashara ya viungo vya binadamu vinavyodhaniwa kuwa nia vya Alibino
No comments:
Post a Comment