Friday, 22 May 2015

UBOVU WA BARABARA WAWAKOSESHA RAHA WATALII WA NDANI KATIKA HIFADHI YA TAIFA YA MLIMA KILIMANJARO.

Magari yaliyokuwa yakitumiwa na watalii wa
ndani waliokuwa wakipanda kwenda kilele cha Shira yakiwa yameegeshwa
baada ya kushindwa kuendelea na safari kutokana na ubovu wa barabara

.
Baadhi ya watalii wa ndani wakiwa eneo la
kambi ya Tembo wakisubiri magari madogo ya hifadhi ya taifa ya mlima
Kilimanjaro (KINAPA) kwa ajili ya kuwachukua kuwapeleka katika hifadhi
hiyo.
Watalii wa ndani walilazimika kupanda magari
ya aina hii ili kufika katika kilele cha Shira.
Safari ya kuelekea kilele cha Shira
ikianza.
Afisa Masoko wa hifadhi ya taifa ya Mlima
Kilimanjaro Antypas Mgungusi akizungumza jambo mbele ya watalii wa
ndani mara baada ya kufika Lango la Londros kwa ajili ya kuanza safari
ya kuelekea kilele cha Shira.

No comments:

 

ADVERTISE WITH US

AFRICAN FASHION

PLACE YOUR ADS HERE!