Saturday, 23 November 2013

MAANDALIZI YA ONYESHO LA P-SQUARE DAR HAPATOSHI

p
Naye Paul alivitaka vyombo vya habari kupigania haki za wasanii na kuwatangaza kwani Tanzania ina vijana wanaojituma katika kazi za sanaa.
“Huu ni wakati wa sisi wasanii kubadilishana mawazo P Square tunaweza kufanya kazi na wasanii wa Tanzania ili kuinua muziki wao pia, lakini vyombo vya habari vina nafasi kubwa ya kuwainua wasanii.”
Chanzo: Mtanzania

No comments:

 

ADVERTISE WITH US

AFRICAN FASHION

PLACE YOUR ADS HERE!