Thursday, 20 June 2013

SOMA UJUMBE TOKA KWA MVUJA JASHO FULANI ALIOUTUMA KWENYE MTANDAO KUTOKANA NA PICHA HII.

Achana na kitu inayoitwa SIASA utawacha watoto waishie vidudu/chekechekea wakati wenzako wanacheka na kuheshimiana kama hivi, huku kwenye maandamo wewe ndio mbeba bango na muimbaji, Amka acha kutumiwa hakuna binadamu mkweli asilimia zote
Kiroho Safi napost

Achana na kitu inayoitwa SIASA utawacha watoto waishie vidudu/chekechekea wakati wenzako wanacheka na kuheshimiana kama hivi, huku kwenye maandamo wewe ndio mbeba bango na muimbaji, Amka acha kutumiwa hakuna binadamu mkweli asilimia zote
Kiroho Safi napost........

Kamanzi Aimma Emmanuel Wanasiasa ni wanafiki
wananchi wenye vihele hele ndo inakula kwao na kudungwa mabomu
nimeipenda@Smile

No comments:

 

ADVERTISE WITH US

AFRICAN FASHION

PLACE YOUR ADS HERE!