Wednesday, 12 June 2013

NINI KIFANYWE KUPUNGUZA AJALI ZA BARABARANI KAMA HIZI? MANI YAKO NI MUHIMU....




Ajali imetoke Mtaa wa chuma road karibu na bodi ya nafaka.. Wenye pikipiki walikua wanatoka Veta kunyoosha mbozi road na mwenye gari anatokea kwa sokota, mwenye gari akapinda kona ya Simba Plastiki na kuwazoa wenye pikipiki.

No comments:

 

ADVERTISE WITH US

AFRICAN FASHION

PLACE YOUR ADS HERE!