Tuesday, 11 June 2013

LWAKATARE ATOKA KWA DHAMANA YA SHILINGI MIL 10

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam imempa dhamana Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Wilfred Lwakatare na mwenzake Ludovick Rwezaura

Hakimu anayesikiliza kesi hiyo Aloyce Katemana amesema masharti ya dhamana hiyo ni wadhamini wawili wafanyakazi kila mmoja aweke bondi ya shilingi milioni 10 na wawe na uthibitisho wa barua na mihuri ya ofisi wanayofanyia kazi

Hakimu katamana ametoa muda mpaka saa nane kutimizwa kwa masharti hayo.Lwakatare na mwenzake Ludovick wanakabiliwa na shtaka la kupanga njama za kumnywesha sumu mhariri wa gazeti la Mwananchi, Denis Msacky.

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam imempa dhamana Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Wilfred Lwakatare na mwenzake Ludovick Rwezaura

Hakimu anayesikiliza kesi hiyo Aloyce Katemana amesema masharti ya dhamana hiyo ni wadhamini wawili wafanyakazi kila mmoja aweke bondi ya shilingi milioni 10 na wawe na uthibitisho wa barua na mihuri ya ofisi wanayofanyia kazi

Hakimu katamana ametoa muda mpaka saa nane kutimizwa kwa masharti hayo.Lwakatare na mwenzake Ludovick wanakabiliwa na shtaka la kupanga njama za kumnywesha sumu mhariri wa gazeti la Mwananchi, Denis Msacky.

No comments:

 

ADVERTISE WITH US

AFRICAN FASHION

PLACE YOUR ADS HERE!