Monday 17 June 2013

ALIYEKUWA MSANII WA HIP POP, MAREHEMU LANGA KILEO KUZIKWA LEO.


 
Mwili wa Langa Kileo ukiwa nyumbani kwao Mikocheni Jijini  Dar.

Langa enzi za uhai wake.

Ndugu wa marehemu wakiaga.
Jeneza lenye mwili wa marehemu Langa.
Ridhiwan Kikwete (kushoto) akiwa msibani.
Taratibu za mazishi ya msanii wa muziki wa kizazi kipya nchini, Langa Kileo zimeanza rasmi ambapo leo asubuhi ameagwa na familia yake nyumbani kwao Mikocheni Jijini  Dar. Waombolezaji wengine watapata muda wa kumuaga mwanamuziki huyo saa 7 mchana na mazishi yanatarajiwa kufanyika Makaburi ya Kinondoni jijini saa 9 alasiri.



SOURCE: GPL

No comments:

 

ADVERTISE WITH US

AFRICAN FASHION

PLACE YOUR ADS HERE!