ALIYEKUWA MSANII WA HIP POP, MAREHEMU LANGA KILEO KUZIKWA LEO.
Mwili wa Langa Kileo ukiwa nyumbani kwao Mikocheni Jijini Dar.
Langa enzi za uhai
wake.
Ndugu wa marehemu
wakiaga.
Jeneza
lenye mwili wa marehemu Langa.
Ridhiwan Kikwete (kushoto) akiwa
msibani.
Taratibu za mazishi ya msanii wa muziki wa kizazi kipya
nchini, Langa Kileo zimeanza rasmi ambapo leo asubuhi ameagwa na familia yake
nyumbani kwao Mikocheni Jijini Dar. Waombolezaji wengine watapata muda wa
kumuaga mwanamuziki huyo saa 7 mchana na mazishi yanatarajiwa kufanyika Makaburi
ya Kinondoni jijini saa 9 alasiri.
No comments:
Post a Comment