Thursday 16 April 2020

Watu wasiojulikana jijini Tanga wameiba Ndoo na koki za maji tiririka zaidi ya 10

 Image may contain: 2 people, people standing, child and outdoor
Watu wasiojulikana jijini Tanga wameiba Ndoo na koki za maji tiririka zaidi ya 10, katika stendi ya mabasi ya Ngamiani iliyopo barabara ya 12 mkoani humo, ambazo zinatumiwa na baadhi ya watumiaji wa Stendi hiyo kwa ajili ya kujikinga na maambukizi ya virusi vya Corona.

No comments:

 

ADVERTISE WITH US

AFRICAN FASHION

PLACE YOUR ADS HERE!