Thursday 25 April 2013
MKATABA WA UNUNUZI WA KIVUKO CHA DAR BAGAMOYO WASAINIWA
Waziri wa ujenzi Dr JOhn Pombe Magufuli,na Balozi wa Denmark nchini Tanzania wakishiriki katika utiaji saini wa mkataba wa kivuko cha Dar-es.salaam mpaka Bagamoyo, kivuko ambacho kitakuwa na uwezo wa kubeba jumla ya abiria 300, kinatarajiwa kukamilika miezi minane ijayo.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment