Mwili wa marehemu ukiwa umefunikwa Khanga na wasamaria wema katika fukwe za Coco Beach....
Taarifa zilizotufikia hivi punde zinadai kuwa mtu mmoja (Pichani) ambaye bado jina lake halijafahamika amekutwa amekufa kando ya fukwe za coco Beach, habari zaidi kuhusiana na kifo hicho bado hazijafahamika, Sophie Mbeyu blog itaendelea kukufahamisha zaidi....
No comments:
Post a Comment