Wednesday 24 October 2018

Mbaroni kwa kumbaka kikongwe wa miaka 72

Image may contain: 1 person, closeup
Raia wa Kenya Thomas Kamau Nganga ambaye ni nesi huko nchini Marekani, amekutwa na wafanyakazi wenzake akimbaka kikongwe mwenye miaka 72, mwenye matatizo ya kupoteza kumbukumbu hospitalini hapo.
Nesi huyo kwa sasa anashikiliwa na polisi wa nchini humo.

No comments:

 

ADVERTISE WITH US

AFRICAN FASHION

PLACE YOUR ADS HERE!