MATOKEO DARASA LA 7 MWAKA 2018: Watahiniwa 733,103 kati ya 943,318 wamefaulu mtihani wa kumaliza elimu ya msingi, Wasichana 382,830 na Wavulana 350,273
- Ufaulu katika masomo ya Kiingereza, Maarifa ya jamii, Hisabati na Sayansi umepanda na kushuka katika somo la Kiswahili
Kuona matokeo hayo | Fungua link zifuatazo
http://41.59.85.99/psle/psle.htm
https://www.necta.go.tz/results/2018/psle/psle.htm
http://41.59.85.99/psle/psle.htm
https://www.necta.go.tz/results/2018/psle/psle.htm
No comments:
Post a Comment