Monday 16 April 2018
Goba, Dar: Wakimbizi wa Ethiopia wakamatwa huku wakiwa na maiti ya mwenzao aliyekufa siku mbili zilizopita
Wakimbizi waliobainika kutoka nchini Ethiopia wamekamatwa usiku wa kuamkia jana Aprili 15, 2018 saa 9.00 usiku wakiwa wamehifadhiwa katika nyumba mojawapo iliyopo Kata ya Goba, jijini Dar es salaam.
Mpaka taarifa hii ya wakimbizi hao kujulikana na polisi ni kutokana na mtu aliyewahifadhi mtaani hapo kuamua kwenda kutafuta usafiri wa gari kwa ajili ya kuichukua maiti ya mmoja wao aliyekufa siku mbili zilizopita ili kwenda kuitupa na ndipo alipobainika
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment