Thursday 26 November 2015

SHEKHAN RASHID MCHEZAJI WA ZAMANI WA SIMBA NDANI YA TBT BONANZA STOCKHOLM SWEDEN

Uraia pacha unavyoturudisha nyuma wachezaji wa Tanzania ughaibuni wangeweza kushiriki mechi kubwa za kimataifa zinazochezwa na timu ya taifa ya Tanzania.



Shekhan Rashid akisalimiana na aliyekuwa waziri mstaafu Fredrick Sumaye enzi hizo akichezea timu ya simba sport club

No comments:

 

ADVERTISE WITH US

AFRICAN FASHION

PLACE YOUR ADS HERE!