Friday 4 September 2015

ZAIDI YA WATU 50 WAHOFIA KUZAMA NCHINI LIBYA


Image copyrightEPA
Image captionWahamiaji waliookolewa katika pwani ya Libya

Zaidi ya watu hamsini hawajulikani waliko baada ya meli walimokuwa wakisafiria kuanza kuzama katika pwani ya Libya.

Msemaji wa shirika la kimataifa ya uhamiaji ameiambia BBC, kuwa wahamiaji wengine waliokuwa kwenye meli hiyo waliokolewa na wanajeshi wa majini wa Italia na wamepelekwa kisiwa cha Lampedusa.
Mwili wa mhamiaji mmoja pia uliopolewa baharini na kupelekwa katika kisiwa hicho.

No comments:

 

ADVERTISE WITH US

AFRICAN FASHION

PLACE YOUR ADS HERE!