Friday 10 April 2015
AHUKUMIWA KIFUNGO CHA MAISHA BAADA YA KUMPA MIMBA MTOTO WAKE WA MIAKA TISA-SHINYANGA
Ama kweli dunia ina mambo, mkazi mmoja mkoani Shinyanga amehukumiwa kifungo cha maisha baada ya kumpa mimba Mtoto wake Wa miaka 9.
Akitoa utetezi wake Baba huyo alisema alifanya kitendo hicho ili maradhi yaliyokuwa yakimsumbua mke wake yapone baada ya kushauriwa na mganga wa kienyeji kuwa afanye tendo hilo kitanda anachokitumia na mke wake na wakati akifanya tendo hilo lishuhudiwe na na mkewe, hivyo walikaa kikao cha familia na kukubaliana.
Baba Huyo alishangaa mke wake kumgeuka mahakamani.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
1 comment:
aziz bilal00:38
Hata huyo mganga naye ale kifungo na pia mke achunguzwe ili kubaini kama naye anahusika na hiyo njama,pia naye akigundulika yumo ktk hiyo fitna naye ale miaka mingi.
Post a Comment