Mfuko wa Pensheni wa PSPF unawatangazia kwamba
Mkutano Mkuu wa Nne wa wadau wake utafanyika tarehe
18 na 19 Februari 2015 kuanzia saa mbili na nusu
asubuhi hadi saa kumi na moja jioni katika Ukumbi wa
Mikutano wa hoteli ya St. Gasper – Dodoma.
Mkutano Mkuu wa Nne wa wadau wake utafanyika tarehe
18 na 19 Februari 2015 kuanzia saa mbili na nusu
asubuhi hadi saa kumi na moja jioni katika Ukumbi wa
Mikutano wa hoteli ya St. Gasper – Dodoma.
ya Mfuko, kutathmini maendeleo na changamoto
zinazoukabili Mfuko na Sekta ya Hifadhi ya Jamii nchini.
Kauli mbiu ya mkutano huu ni;
“PSPF – CHAGUO LAKO SAHIHI”
Tafadhali thibitisha ushiriki wako kwa Mkurugenzi Mkuu,
Dar es Salaam au ofisi za PSPF mikoani.
Imetolewa na
Mkurugenzi Mkuu, PSPF.
MFUKO WA PENSHENI WA PSPF
PSPF Tanzania @PSPF Tanzania www.pspf-tz.org 0
No comments:
Post a Comment