Sunday 8 February 2015

MICHEZO. MATOKEO CHELSEA & ASTON VILLA.

(null)
Baada ya kucheza dakika takribani 660 kufunga goli katika ligi kuu ya England, hatimaye leo hii Aston Villa wameweza kuona nyavu katika mchezo wao dhidi ya viongozi wa ligi hiyo Chelsea.


Mchezo huo uliopigwa katika dimba la Villa Park jioni ya leo, umemalizika kwa Villa kumaliza ukame wa magoli lakini haikutosha kuwapa matokeo chanya dhidi ya Chelsea.
Magoli mawili ya Eden Hazard na Branslav Ivanovic yalitosha kuipa Chelsea pointi 3 muhimu dhidi ya Villa.
Katika upande mwingine Southampton wamerudi nafasi ya 3 kwenye msimamo baada ya kuifunga QPR 1-0, huku Man City wakikabwa koo na Hull City kwa kutoka sare ya 1-1.

No comments:

 

ADVERTISE WITH US

AFRICAN FASHION

PLACE YOUR ADS HERE!