Basi la Zuberi No. 3 Limegongana uso kwa uso na costa. Hakuna aliyetoka kwenye costa na imekwisha nyang'anyang'a. Hali hii imepelekea waliokua kwenye magari mengine kushuka na kuokoa majeruhi. Ni Mbele kidogo ya singida mjini.
Yaani costa imeisha na imeanguka miguu juu. Bado kuna abiria wapo chini ya hiyo costa. Ni ajalii mbaya sana aisee.!
CHANZO: RAHA ZA WALIMWENGU















No comments:
Post a Comment