Friday 14 November 2014

WALE WA MAUA MAMBO NI KAMA HIVI!






Maua haya wengi huyapanda kama fensi, uzio lakini ukiyapanda kwa aina hii na pia waweza kuchanganya rangi mbalimbali hupendeza zaidi..






Aina hii ya maua hustawi pia sehemu ya joto, utunzaji tu ndio muhimu, maji ya kutosha na mbolea kidogo, ukizidisha sana mbolea mizizi inaoza!


1 comment:

Anonymous said...

Aina ya pili ya picha uitwaje

 

ADVERTISE WITH US

AFRICAN FASHION

PLACE YOUR ADS HERE!