Wednesday 16 April 2014

UVCCM SAME YAMSIMIKA KAIRUKI KUWA KAMANDA WAO

Katibu mkuu wa Umoja wa Vijana UVCCM  Sixtus
Mapunda, akimsimika Naibu Waziri wa Sheria na Katiba Angellah Kairuki,
kuwa Kamanda wa  Vijana wilaya ya Same mkoani
Kilimanjaro.
Katibu mkuu wa umoja wa Vijana UVCCM, Sixtus
Mapunda
akimsomea , Naibu waziri wa Sheria na Katiba Angellah Kairuki kiapo
cha ukamanda.
Naibu waziri wa Sheria na
Katiba Angellah Kairuki, akila kiapo cha kusimikwa kuwa kamanda wa
umoja wa vijana UVCCM wilaya
ya Same.
Naibu waziri wa Sheria na Katiba  Angellah
Kairuki
akizindua Shina la wakereketwa wa umoja wa Vijana Uvccm, baada ya
kusimikwa kuwa kamanda wa umoja huo wilayani Same.
Naibu waziri wa Sheria na Katiba Angellah Kairuki
akiwa
kwenye picha ya pamoja na baadhi ya  viongozi wa timu za mpira, baada
ya kuwakabidhi vifaa vya michezo, kama njia ya kuwaunganisha vijana
pamoja. Picha zote na Fadhili Athumani

No comments:

 

ADVERTISE WITH US

AFRICAN FASHION

PLACE YOUR ADS HERE!