Misa ya kumbukumbu iliyofanyika siku ya Jumamosi Machi 22, 2014 College Parka Maryland kwa ajili ya marehemu Caroline Mwaiselage aliyekuwa mfanyakazi wa Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani aliyekutwa na mauti akiwa Tanzania Machi 7, 2014.
Watoto wa marehemu.
Kushoto ni mume wa marehemu Chris Muhoka na kulia Martin Koroso aliyekuja toka Michigan.

Mwambata wa Jeshi wa Ubalozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Marekani na Mexico, Colonel Adolph Mutta.

Mtoto wa Caroline, Michelle akisoma utenzi wa daima watamkumbuka mama yao na kwamba walimpenda sana.

Dada Ndigwako akisoma wasifu wa Marehemu, na yeye ndiye aliyekuwa na watoto wa marehemu wakati marehemu na mumewe walipokwenda Tanzania.

Kushoto ni Afisa Suleiman Saleh na Mkuu wa Utawala na fedha wa Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani Mama Lily Munanka.

Kushoto ni mume wa Balozi wa Tanzania nchini Marekani Bwn. George Mulamula wakiwa pamoja na Mwambata wa Jeshi Ubalozi wa Tanzania nchii Marekani na Canada, Colonel Adolph Mutta













No comments:
Post a Comment