Friday 14 March 2014

AJALI AJALI ! BASI LA JAPANESE EXPRESS LATUMBUKIA MTONI

Habari zilizotufikia  basi la kampuni ya Japanese Express linalofanya safari zake kati ya Makete - Njombe, limetumbukia kwenye mto eneo la Lwamadovela wilayani Makete


Basi hilo lilikuwa likitokea Njombe kuja Makete na ajali hiyo imetokea majira ya saa 11 jioni kwa mujibu wa mashuhuda wa ajali hiyo

Wapo baadhi ya abiria waliojeruhiwa na kukimbizwa katika hospitali ya Ikonda Consolata

Taarifa kamili ya ajali hiyo pamoja na picha zitakujia baadae.......

CRD: EDDY BLOG

No comments:

 

ADVERTISE WITH US

AFRICAN FASHION

PLACE YOUR ADS HERE!