skip to main |
skip to sidebar
WATU 12 WAKAMATWA NA MADAWA YA KULEVYA
Watu 12, wanaodaiwa kuwa ni raia wa Iran na Pakistan wamekamatwa na shehena kubwa la madawa ya kulevya katika Bahari ya Hindi wakiwa wanaelekea Zanzibar kwa jahazi.Chanzo: RADIO1 STEREO
No comments:
Post a Comment