Tuesday, 28 January 2014

NYUMBA ZA DAR ES SALAAM ZAANZA KUPEWA NAMBA

 

 Taswira hizi ni sehemu ya nyumba za maeneo ya Temeke Wailesi jijini Dar es salaam ambazo zimeshapata namba katika mpango wa kuwa na Post Codes kwa jiji hilo kuu la biashara nchini Tanzania. Inasemekana asilimia 70  wakaazi wa jiji hilo  wanaishi katika maeneo yasiyopimwa. Mpango huu uliozinduliwa Septemba 14, 2012 una lengo la kurahisisha taarifa ya makazi ya watu kwa mitaa kupewa majina rasmi na nyumba kuwekwa namba.




PICHA KWA HISANI YA ISA MICHUZI.

No comments:

 

ADVERTISE WITH US

AFRICAN FASHION

PLACE YOUR ADS HERE!