Ajali ya kutisha yatokea maeneo ya KIA jirani na kampuni ya kusaga kokoto ya konoike au njia panda ya kwenda uwanja wa ndege wa Kilimanjaro International Airport watu zaidi ya 67 wote wamejeruhiwa vibaya japo hakuna aliye fia hapo ila hali zao ni mbaya hasa madereva namakonda wote.
Ni baada ya Semi kugonga gari la kampuni ya LM Fusso
KWA HISANI YA MASAI NYOTAMBOFU...
No comments:
Post a Comment