wa kazi za star Paul Walker. Huyu ni kijana aliyepata umaarufu mkubwa
kupitia
kazi zake za uigizaje kwenye filamu za Fast and Furious na nyingine.
Story ya kifo chake imechukua nafasi kubwa kwenye mitandao leo
kazi zake za uigizaje kwenye filamu za Fast and Furious na nyingine.
Story ya kifo chake imechukua nafasi kubwa kwenye mitandao leo
na zinasema kuwa star huyu alikuwa anatoka kwenye shughuli ya
kuchangi watu kupitia organisation yake ya Reach out World Wide.
Paul Walker alikuwa na mwenzake ambaye ndio aliyekuwa dereva wa gari
Paul Walker alikuwa na mwenzake ambaye ndio aliyekuwa dereva wa gari
la kifahari aina ya Porsche Carrera GT na wakiwa njiani kurudi nyumbani
ndio dereva akapoteza control ya gari na kugonga nguzo ya taa uliokuwa
gari ilivyo gonga nguzo na kukatika kati kati.
Habari pia zinasema baada ya gari kugonga nguzo ya taa lika waka
Habari pia zinasema baada ya gari kugonga nguzo ya taa lika waka
moto mkubwa uliopelekea kifo cha Paul aliyefariki akiwa na miaka 40.
Paul ameacha mtoto wa kike wa miaka 15.
Kifo cha Paul kitapelekea mauzo makubwa ya filamu zake ikiwemo
Paul ameacha mtoto wa kike wa miaka 15.
Kifo cha Paul kitapelekea mauzo makubwa ya filamu zake ikiwemo



















No comments:
Post a Comment