Monday, 18 November 2013

UMOJA WA WANAFUNZI WA UDAKTARI TANZANIA(TAMSA) WAADHIMISHA SIKU YA KISUKARI DUNIANI.



Photo

Photo

Maadhimisho haya yalifanyika tar 14 mwezi huu, siku ambayo huadhimishwa siku ya kisukari duniani.. maadhimisho haya yamefanywa na umoja wa wanafunzi wa udaktari TAMSA (Tanzania association of medical students) kupitia tawi la SFUCHAS (St francis university college of health and allied science) kilichopo ifakara morogoro

Maandamano hayo yalikuwa na lengo la kufikisha ujumbe na kuwataarifu wananchi kushiriki siku hii ambapo huduma za kupima sukari zilitolewa bure kupata ushauri jinsi ya kujikinga na ugonjwa huo, ambao ni umekuwa ni tatizo kubwa nchini.

Photo

Umoja wa wanafunzi wa udaktari pamoja nakatibu wa tanzania diabetes association dr Mushi.

Photo
Photo

Wananchi wengi walijitokeza ili kupata huduma hiyo ya upimwaji kisukari ambayo ilitolewa bure.

Mshiriki akipata ushauri baada ya kufanyiwa vipimo.

Photo

Na mwandishi wetu Mohamed Mwingira.

No comments:

 

ADVERTISE WITH US

AFRICAN FASHION

PLACE YOUR ADS HERE!