Tuesday 20 August 2013

NYOTA WA FILAM RIZOLI & ISLES AFARIKI DUNIA.


130819lee-thompson-young1_210x305
  Nyota huyu wa filam Lee Thompson alikutwa amekufa nyumbani kwake kwa kile kinachoaminika kuwa amejipiga risasi akiwa na umri wa miaka 29 tu.Meneja wake Johnathan Baruch alithibitisha habari hiyo kupitia yahoo. Angalia moja ya kazi zake hapa.

 


CREDIT SUNDAY SHOMARI.

No comments:

 

ADVERTISE WITH US

AFRICAN FASHION

PLACE YOUR ADS HERE!