Tazama hata hapa najikuta nakosa cha kukiandika maana kila niliandikalo naona kama bado halitoshi kuelezea Hisia, Upendo, Thamani na Heshima yangu Kwako...
Nakupenda sana Mama yangu, Mwenyezi Mungu akuzidishie Maisha marefu yenye Afya na furaha ili uzidi kuniongoza vyema Mwanao, Maana Bila wewe Mbele kwangu ni kiza...
Happy Birthday Mama Nasibu
/2.bp.blogspot.com/-Xz5PIyPfBEQ/Udndcq53W8I/AAAAAAAAocc/9jk-O2soGek/s1600/diamond+.jpg">















No comments:
Post a Comment