Thursday, 11 July 2013

MWANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA ATEKWA NYARA . AZIRAI MASAA 15 , AOKOTWA MLIMA NYOKA KILOMETA 15 KUTOKA MBEYA MJINI


Emanuel Komba umri wa miaka (15)  kidato cha kwanza Shule ya sekondari Ilomba akifanya mazoezi baada ya kufikishwa katika hospitali ya Rufaa Mbeya





Emanuel Komba umri wa miaka (15)  kidato cha kwanza Shule ya sekondari Ilomba  akiwa amepata fahamu na kuelezea kisa kizima


 Shati hili lilikuwa limechanwa ambalo ndilo lilitumika kuchanwa  na kumfunga mikono na kumziba mdomo

 







Wakiondoka katika Hospitali ya Rufaa ya Mbeya baada ya matibabu 

HABARI NA PICHA KWA HISANI YA MBEYA YETU.

PICHA NA MBEYA YETU

No comments:

 

ADVERTISE WITH US

AFRICAN FASHION

PLACE YOUR ADS HERE!