Friday, 12 July 2013

BINTI ANAYESADIKIWA KUWA MCHAWI ASHINDWA KUTOKA NYUMBA ALIYOINGIA

BINTI MMOJA ANAYESADIKIWA KUWA MCHAWI ASHINDWA KUTOKA NDANI YA NYUMBA ALIYOINGIA - FAHARI YA KUSINI MWA TANZANIA
clip_image002Pichani Mwalimu Amlima anaturushia habari hii mpya ndani ya mfungo wa Ramadhani:
Usiku wa kuamkia Leo binti Huyu aliingia nyumbani kwangu bila watu kutambua tukamgundua alfajiri saa 11 alipokuwa anang'ang'ania kutoka nje ila anashindwa. Kibaya zaidi milango yote ilikuwa wazi wakati tuliifunga tulipokuwa tunaingia vyumbani kulala. Ni jambo ambalo linanikosesha amani siku ya Leo.
clip_image003Binti aliye ganda ndani ya nyuma ya Mwalimu Amlimaclip_image002[5]
Majirani wakimshangaa Binti huyo…

CHANZO LINDI YETU. 

No comments:

 

ADVERTISE WITH US

AFRICAN FASHION

PLACE YOUR ADS HERE!