TANZANIA NI MOJA KATI YA NCHI ZA KWANZA KUTIA SAINI MKATABA WA KUDHIBITI BIASHARA YA SILAHA
Naibu Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa, Balozi Ramadhan Mwinyi akitia sahihi kwa niaba ya Serikali, Mkataba wa Kimataifa wa Kudhibiti Biashara ya Silaha ( ATT) juzi.
No comments:
Post a Comment