Tuesday, 18 June 2013

SAKATA LA MWANADADA ALIYEFARIKI NA MADAWA YA KULEVYA TUMBONI, MWANABLOG SINTAH AWAASA WANAWAKE.




ilikuwa ni kutoka UK kwenda Italy na mauti

yakamkuta huko kweli drugs noumaaa

NA HII NI MESEJI YA SINTAH KUHUSIANA NA HILO

Jamani jamani msiwaige wa Nigeria jamani watawaponza maana wanawapa maneno matamu huku wanawamaliza taratiibuu, Sonia ni msichana aliyekuwa anaishi Uk na chanzo cha habari hii kimeniambia alipata connection ya Nigerians wanaoishi Uk kupeleka sembe Italy, yaliyomkuta ni yale mambo kucheza segere ndani ya tumbo lake na kupelekea umati wake (vitu vimepasukia kwa tumbo)
 
wanawake/wasichana why?/ maana kwa sasa sisi tunashika hatamu, kweli haya majanga jamani kataeni msiwe warahisi kukubali vitu kwa sababu ya ugumu wa maisha, hakuna permanent situation so hicho kipindi kigumu kitapita tu, kila siku nawaletea mifano na uthibitisho kwamba hivyo vitu ni noma lakini hamkomi.<<>
 
 
 

No comments:

 

ADVERTISE WITH US

AFRICAN FASHION

PLACE YOUR ADS HERE!