
Wakazi wa Magomeni wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani wakiwa wamebeba jeneza lenye mwili wa aliyekuwa mume wa Khadija Kopa marehemu Jafary Ally,wakielekea makaburini kwa ajili ya mazishi.Marehemu alifariki mapema jana kwa ugonjwa. Marehemu Jafary Ally pia alikuwa ni diwani wa CCM kata ya Magomeni













No comments:
Post a Comment