Wednesday, 5 June 2013

LIVE TOKA LEADERS: MATUKIO ZAIDI WAKATI WA UTOAJI WA SALAMU ZA MWISHO KWA MWILI WA MAREHEMU MANGWAIR


MWILI WA MAREHEMU ALBERT MANGWEA UKIWA KATIKA JENEZA TAYARI KWA WATU MBALIMBALI KUAGA KATIKA VIWANJA VYA LEAD
ERS, KABLA YA KUANZA SAFARI YA KWENDA MKOANI MOROGORO KWA AJILI YA MAZISHI KESHO SIKU YA ALHAMISI.


Mwili wa marehemu Albert Mangwea ukiwa kwenye jeneza tayari kwa watu kutoa heshima za mwisho


Umati wa watu wakiwa wamepanga mstari tayari kwa kwenda kuaga huku kikosi cha msalaba mwekundu na polisi kikiwa stand by just incase anything happens. Sasa naskia watu badala ya kwenda na kuaga wao wako busy wanapiga picha kha hizi teknolojia aiseee tutajutaaa

Baadhi ya ma super star wa bongo wakiwa kwenye mstari tayari kwa kuaga.

No comments:

 

ADVERTISE WITH US

AFRICAN FASHION

PLACE YOUR ADS HERE!