Saturday, 15 June 2013

JUST IN..................... WATU SABA WAJERUHIWA KWA MLIPUKO UNAODHANIWA KUWA NI BOMU HUKO ARUSHA.

Watu wawili wamefariki dunia na wengine saba kujeruhiwa vibaya, kutokana na mlipuko unaohisiwa kuwa ni bomu,mara baada ya mkutano wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) uliokuwa ukifanyika katikaViwanja vya Soweto Mjini Arusha.6510_197909020362132_1935330081_n











Majeruhi wa mlipuko wa kitu kinachosadikiwa kuwa ni bomu, wakiwa katika hospitali ya Mount Meru iliyopo  mjini Arusha. SOPHIE MBEYU BLOG ITAENDELEA KUWAHABARISHA ZAIDI STAY TUNED..........

No comments:

 

ADVERTISE WITH US

AFRICAN FASHION

PLACE YOUR ADS HERE!