Monday, 17 June 2013

HOTELI YA SERENA, IKISHIRIKIANA NA MONTAGE LTD, WAAZIMISHA SIKU YA MTOTO WA AFRIKA NA WATOTO WA KITUO CHA PASADA


 Mkurugenzi wa Masoko na Mauzo wa Serena Hoteli, Seraphin Lusala akizungumza na watoto wanaoishi katika mazingira magumu kutoka PASADA wakati wa hafla ya Chakula cha mchana kilichoandaliwa na Kampuni ya Montage kwa kushirikiana na hoteli hiyo jijini Dar es Salaam ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya siku ya mtoto wa Afrika. (Picha kwa hisani ya  Habari Mseto Blog)
Mkurugenzi  Mkuu wa Kampuni ya Montage, Teddy Mapunda akizungumza na waandishi wa habari wakati wa maadhimisho ya Siku ya Mtoto wa Afrika ambapo kampuni ya montagde iliandaa chakula cha mchana kswa ajili ya watoto wanaioishi katika mazingira magumu.
 Watoto wakisherehekeasiku yao.
Mkurugenzi  Mkuu wa Kampuni ya Montage, Teddy Mapunda na Mkurugenzi wa Masoko na Mauzo wa Serena Hoteli, Seraphin Lusala wakigawa vinywaji baridi kwa watoto.

No comments:

 

ADVERTISE WITH US

AFRICAN FASHION

PLACE YOUR ADS HERE!