Thursday 18 March 2021

Mhe. Samia Suluhu Hassan kuapishwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kesho Machi 19, 2021.

Makamu wa Rais Mhe Samia Suluhu Hassan ataapishwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kesho Machi 19, 2021. Hafla ya uapisho huo itafanyika Ikulu, Dar es Salaam, saa 4 Asubuhi.

Mama Samia anatarajiwa kuwa Rais wa sita wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

No comments:

 

ADVERTISE WITH US

AFRICAN FASHION

PLACE YOUR ADS HERE!