Monday 1 June 2020

Derek Chauvin kufikishwa mahakamani leo

Manifiestan en Boston por muerte de afroamericano en Minneapolis ... Derek Chauvin, Polisi ambaye anatuhumiwa kusababisha kifo cha George Floyd, atafikishwa Mahakamani leo akikabiliwa na makosa ya kuua na kuua bila kukusudia, Wakili wa Floyd anasema Derek alikuwa na nia ya kuua ndio maana alimkanyaga Floyd kwa zaidi ya Dakika 8.
#MillardAyoUPDATES

No comments:

 

ADVERTISE WITH US

AFRICAN FASHION

PLACE YOUR ADS HERE!