Thursday 2 April 2020

Korea kaskazini-Hatuna Corona!

Korea Kaskazini imesisitiza kwamba hadi leo haina hata mgonjwa mmoja mwenye corona licha ya ugonjwa huo kusambaa Duniani “siri ya mafanikio ni tahadhari ya mapema kimyakimya bila mbwembwe, corona ilipoanza China tukafunga mipaka, Bandari na Aiport, kila mgeni akawekwa karantini”


MillardAyo.com

No comments:

 

ADVERTISE WITH US

AFRICAN FASHION

PLACE YOUR ADS HERE!