Tuesday 31 March 2020

Dalili za mara kwa mara za Virusi vya Corona

Coronavirus (COVID-19) - Miami University
 Dalili za mara kwa mara za Virusi vya Corona ni pamoja na Homa, Kikohozi kikavu (baada ya siku 2-7), Kupumua kwa tabu, Kukosa hamu ya Kula, Kuharisha na Maumivu ya Mwili kwa Ujumla
- Dalili za mara chache za Virusi vya Corona ni pamoja na Homa Kali, Homa ya Mapafu (Pneumonia), Kukohoa Damu na Figo kushindwa kufanya kazi

No comments:

 

ADVERTISE WITH US

AFRICAN FASHION

PLACE YOUR ADS HERE!