Thursday 28 March 2019

Amwagiwa tindikali baada ya kudai talaka


Mrembo Nigese wa Ethiopia amemwagiwa tindikali na mchumba wake, baada ya kumtaka ampe talaka kutokana na kumpiga mara kwa maramara. Mwanamke huyo kwa sasa si tu amepoteza urembo wake, bali kapoteza uwezo wa kuona, na mtoto wake kumkataa kwa kutomtambua

No comments:

 

ADVERTISE WITH US

AFRICAN FASHION

PLACE YOUR ADS HERE!