Wednesday 21 March 2018

Pioneer flowers!


Haya maua nayapenda mno, hunivutia sana nikiyaoana, halafu yanaharufu nzurii sema uoteshaji  na utunzaji wake, unatakiwa ujuzi wa hali ya juu! Yaani haya maua hayaoti hovyo hovyo, lazima iwe ni sehemu yenye unyevu nyevu wa wastani, na hayataki baridi sana wala jua kali,  Nadhani mikoani kama Arusha Iringa n.k wanaweza kupanda na yakastawi vizuri 















No comments:

 

ADVERTISE WITH US

AFRICAN FASHION

PLACE YOUR ADS HERE!