Thursday 21 July 2016

MTUMISHI WA TAKUKURU AUAWA KINYAMA





Taarifa za mauaji wilaya kiteto Mkoa Manyara binti knobs ajulikanae kwa  jina la Eva aliyekuwa akifanya kazi Pccb (Takukuru) ameuawa na mtu asiyefahamika nyumbani kwake na Kulawitiwa na kisha Kuuwawa. upelelezi bado unaendelea na Mshukiwa mmoja mikononi mwa polisi kwa upelelezi zaidi. M/mungu ailaze roho ya marehemu peponi Amin...

No comments:

 

ADVERTISE WITH US

AFRICAN FASHION

PLACE YOUR ADS HERE!